| |
Lameck akimvisha pete Bi Faustina mbele yao anayeonekana ni Mchungaji Samweli Masaba wa AICT aliyewafungisha ndoa siku hiyo. |
Lameck ambaye ni M/kiti wa CCT RUCO anasoma masomo yake katika sayansi ya Habari na Teknolojia katika kitivo cha Computer Science mwaka wa pili katika chuo kikuu cha
Ruaha na akaona si vyema akae peke yake aliamua kufunga pingu za
maisha na Bi Faustina wa Makete Iringa tarehe 26/05/2012 katika Usharika wa
CCT-RUCO kama inavyoonekana katika picha.
|
Hapo Bwana na Bibi Mtaka wakinong'onezana kitu wakati wanaingia Ukumbini |
|
Blog ya CCTRUCO inawatakia maisha mema katika ndoa yao Mungu ailinde na waishi maisha yenye Furaha na Upendo daima Mungu awabariki sana.
Tunawapongeza sana kwa kufanikiwa kufunga pingu za maisha Hongereni sana
ReplyDeletecongratulations
ReplyDelete