Uongozi wa CCT RUCU unapenda kuchukua nafasi ya kipekee kwanza katika
kumshukuru Mungu aliyetuwezesha kufika siku ya Tarehe 15/11/2015, ili
kujumuika pamoja katika ibada takatifu. Ibada hii ilihusisha ushirika
mtakatifu na watu mbalimbali walipata nafasi ya kumshukuru Mungu kwa
mambo mengi aliyowatendea katika maisha yao. Zaidi ibada hii ilipambwa
na waimbaji kutoka chuo kikuu cha Mkwawa pamoja na praise and worship
team. Ashukuriwe mungu kwa kumtumia mpakwa mafuta wake mchungaji CANON
NYAGAWA katika kuongoza ibada hiyo.
No comments:
Post a Comment