Hakika Mungu ni mwema kila wakati. Uongozi wa CCT RUCU unapenda kutoa shukrani za pekee kwa waumini wote waliopata nafasi kushiriki ibada pamoja na JOINT-FELLOWSHIP iliyofanyika hapa chuoni siku ya jumapili ya tar 28/11/2015.
"MUNGU AWABARIKI WOTE KATIKA MASOMO NA MAISHA YENU" AMEN!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment