Tuesday, May 3, 2016

Amani ya kristo iwe nawe....Kama ulipitwa na tukio la uinduzi wa hope kwaya 24/04/2016. Usiwe na shaka hebu tujikumbushe matukio machache haya kama ilivyokua siku ya uzinduzi katika chuo kikuu cha kikatoliki Tanzania (RUCU) kwenye ukumbi wa assembly hall....Ambapo uzinduzi ulimpa sifa BWANA na pia ulikuwa wa kupendeza sana....Karibu!!!!
Hope kwaya wakiingia ukumbini

Kwaya ya watoto ikihudumu
Kwaya ya MUCE ikihudumu

Hope kwaya wakipanda stejini



Hope kwaya wakiwa tayari kumsifu MUNGU



Mkuu wa wilaya ya Iringa mjini na vijini Mh.Richard kasesela akizindua Album ya Hope kwaya

Meneja wa CRDB iringa akiwa na ms Baby chuma tayari kufungua zoezi la changizo ya keki

Watu waliofika kushuhudia uzinduzi wa Hope kwaya


Hope kwaya wakifuatilia matukio ndani ya ukumbi

Ms.Baby chuma mlezi wa CCTRUCU akitoa salamu

Kamati ya uzinduzi kwenye picha ya pamoja na wageni waalikwa


Hope kwaya wakiwa katika picha ya pamoja na wageni waalikwa

No comments:

Post a Comment