Friday, May 20, 2016


Jina la BWANA libarikiwe.....Mpendwa katika BWANA basi kama hukupata kushiriki ibada ya jumapili ya tarehe 15/05/2015. Basi na tujikumbushe matukio machache kama yalivyotukia siku ya ibada. Ambapo neno la MUNGU lilitolewa na mlezi wa CCTRUCU ms BABY BARAKA CHUMA lakini pia tulipata ugeni wa mchungaji kutoka kanisa la dodoma anglikani ambaye alishiriki pamoja
nasi katika ibada hiyo iliyojaa matendo makuu ya MUNGU. Karibu kwa uchache upitie matukio hayo na ubarikiwe na MUNGU ALIYE HAI.

Mchungaji  Canon nyagawa akiongoza nyimbo za vitabuni
Mchungaji kutoka Anglikani dodoma

Praise team wakimsifu MUNGU
Ms Baby chuma akilisha Kondoo wa BWANA neno la MUNGU
HOPE KWAYA katika ubora wao wakimsifu MUNGU

No comments:

Post a Comment