Wednesday, June 1, 2016

IBADA YA TAREHE 29/05/2016

Bwana apewe sifa......Tuna kila sababu ya kumshukuru MUNGU aliyetupigania na kuifanikisha ibada ya tarehe 29/05/2016 ambapo watu walimuona MUNGU katika namna ya kipekee na kubarikiwa. Yafuatayo ni Baadhi ya matukio machache kama yalivyotukia katika ibada hiyo..
Mchungaji canon Nyagawa akihuburi neno la MUNGU

HOPE kwaya wakifanya igizo katika ibada

Mzee wa kanisa akisoma neno la Jumapili

PRAISE AND WORSHIP TEAM wakimsifu na kumuabudu MUNGU

Washarika waliokuja madhabauni kwa BWANA kumshukuru MUNGU kwa matendo makuu MUNGU aliyowatendea

Washarika waliohudhuria ibada wakisikiliza neno la MUNGU

No comments:

Post a Comment