Saturday, December 3, 2016

BWANA ASIFIWE........ Kuelekea ibada ya kesho basi na tujikumbushe kwa uchache matukio kama yalivyotukia jumapili ya wiki iliyopita....Ilikua ni Ibada ya kuweka wakfu vifaa vya vyombo vya muziki vya kanisa pamoja na kushiriki meza ya BWANA..... ilikua ni ibada iliyojaa shangwe na furaha pia tulipokea ugeni kutoka kwa mbunge mama Ritta kabati ambaye aliambatana na wageni mbalimbali kutoka ofisi yake.....Mh Ritta ndiye aliyezindua vyombo hivyo pia vyombo vya habari vilikuwepo kuchukua matukio katika ibada hiyo
Washarika waliokuja kumshukuru MUNGU

Mchungaji akiongoza nyimbo za vitabuni


Hope kwaya wakiwa kazini


Mwandishi wa Tv 1 akisalimia washarika

Mlezi wa CCT RUCU ms BABY BARAKA CHUMA akitoa neno

Washarika wakifuatilia kwa makini ibadani

Mheshimiwa Ritta Kabati akitoa neno la shukrani

Zoezi la kuweka wakfu vyombo likiwa linaendele


Washarika wakishiriki meza ya BWANA


No comments:

Post a Comment